Deuteronomy 12:1

Mahali Pekee Pa Kuabudia

1 aHizi ndizo amri na sheria ambazo ni lazima mwe waangalifu kuzifuata katika nchi ambayo Bwana, Mungu wa baba zenu, amewapa kumiliki, kwa muda wote mtakaoishi katika nchi.
Copyright information for SwhKC